• MISEMO

    Monday, March 31, 2014

    USAFIRI WA KUSINI UTATUMALIZA

    Mwendo kasi wa magari barabara ya kwenda kusini wasababisha ajali mbaya Kibiti wilaya ya Rufiji mkoani Pwani na kusababisha vifo vya watu 22,ajali hii imeusisha magari yapatayao tano moja ikiwa gari ndogo ya abiria (haice )

    No comments:

    Post a Comment

    Fashion

    Beauty

    Culture