• MISEMO

    Monday, April 6, 2015

    HAKUNA KAMA DIAMOND PLATZ

    Pamoja na muda wote toka awee juu sehemu mbalimbali katika muziki inasemekana kuwa nyimbo zake hazipotezi ubora na kuzidi kuwa vutia watu wanao sikiliza nyimbo hizo.Hii inathibitishwa na kitendo cha mashabiki hasa nje ya Tanzania kuzikubali nyimbo za mwanzoni kabisa kama nyimbo ya kamwambie na Mbagala

    No comments:

    Post a Comment

    Fashion

    Beauty

    Culture